Ukipenda kuwa unapata habari mpya, motomoto na mabadiliko punje tu yanapotokea kwenye Mtukwao.com jiandikishe kwa kubofya kidude cha rangi ya machungwa kinachosema RSS kushoto, chini ya orodha za kurasa.
May 5, 2012
micheal mwakilasa
Mimi naitwa Michael T. Mwakilasa, ninaamini Watanzania tukiweza kuitumia teknolojia ya intaneti kwa ufanisi mzuri itatuletea maendeleo sana.
Mwalimu anatuambia tutaifanyia nini nchi yetu? na sio nchi yetu itatufanyia nini. Nadhani tukisheherehekea miaka 50 ya uhuru wa nchi yetu tujiulize tumeifanyia nini Tanzania? Najua watu wengi tunalalamikia hali ni ngumu, wengine wanasema nchi inakwenda kubaya, je, kila mtu akijiuliza amechangiaje au anachangiaje katika maendeleo ya nchi?